Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 18:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Yehova akasema: “Kilio cha malalamiko juu ya Sodoma na Gomora+ ni kikubwa, na dhambi yao ni nzito sana.+

  • Mwanzo 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wakaendelea kumwita Loti na kumwambia: “Wako wapi wale wanaume ambao waliingia kwako usiku wa leo? Walete nje kwetu ili tulale nao.”+

  • Waroma 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 na vivyo hivyo pia hata wanaume waliacha matumizi ya asili ya mwanamke+ na kuwakiana tamaa kali katika uchu wao kuelekeana wao wenyewe, wanaume kwa wanaume,+ wakitenda mambo machafu+ na kupokea ndani yao wenyewe malipo kamili,+ yaliyostahili kosa lao.+

  • 2 Petro 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na kwa kuyageuza majiji ya Sodoma na Gomora kuwa majivu aliyahukumia adhabu,+ akiweka kielelezo kwa watu wasiomwogopa Mungu juu ya mambo yatakayokuja;+

  • Yuda 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ndivyo pia Sodoma na Gomora na majiji yaliyoyazunguka,+ baada ya hayo kuwa yamefanya uasherati kwa kuzidi mno na kwenda kufuatilia mwili kwa ajili ya matumizi yasiyo ya asili,+ katika namna ileile kama hao waliotangulia kutajwa, yamewekwa mbele yetu kuwa kielelezo cha kuonya+ kwa kupatwa na adhabu ya hukumu ya moto wa milele.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki