5 wale wanaosema, ‘Kaa peke yako. Usinikaribie, kwa maana hakika nitakupa utakatifu.’+ Hawa ni moshi katika mianzi ya pua yangu,+ moto unaowaka mchana kutwa.+
11 Siku hiyo hutaona aibu kwa sababu ya matendo yako yote uliyonikosea,+ kwa maana wakati huo nitaondoa katikati yako watu wako wanaofurahi kwa majivuno;+ nawe hutajivuna tena kamwe katika mlima wangu mtakatifu.+