Yeremia 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Je, hujaona yale ambayo watu wa kikundi hiki wamesema, ‘Zile familia mbili ambazo Yehova amechagua,+ yeye pia atazikataa’? Nao wanaendelea kuwavunjia watu wangu heshima,+ hivi kwamba lisiendelee tena kuwa taifa mbele yao.
24 “Je, hujaona yale ambayo watu wa kikundi hiki wamesema, ‘Zile familia mbili ambazo Yehova amechagua,+ yeye pia atazikataa’? Nao wanaendelea kuwavunjia watu wangu heshima,+ hivi kwamba lisiendelee tena kuwa taifa mbele yao.