Hosea 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nami nitakuchumbia mpaka wakati usio na kipimo,+ nitakuchumbia uwe wangu katika uadilifu na katika haki na katika fadhili zenye upendo na katika rehema.+
19 Nami nitakuchumbia mpaka wakati usio na kipimo,+ nitakuchumbia uwe wangu katika uadilifu na katika haki na katika fadhili zenye upendo na katika rehema.+