Yeremia 51:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+ Matendo 14:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika vizazi vilivyopita yeye aliwaruhusu mataifa yote waendelee kutembea katika njia zao,+
7 Babiloni amekuwa kikombe cha dhahabu mkononi mwa Yehova,+ yeye anailewesha dunia yote.+ Mataifa yamekunywa kutokana na divai yake.+ Ndiyo sababu mataifa yanaendelea kutenda kiwazimu.+