Zaburi 66:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Njooni, sikilizeni, enyi nyote mnaomwogopa Mungu, nami nitasimulia+Mambo ambayo ameitendea nafsi yangu.+ Danieli 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Nami nakusifu wewe na kukuhimidi,+ Ee Mungu wa mababu zangu, kwa maana umenipa mimi hekima+ na nguvu. Na sasa umenijulisha tulilokuomba, kwa kuwa umetujulisha jambo lile la mfalme.”+
16 Njooni, sikilizeni, enyi nyote mnaomwogopa Mungu, nami nitasimulia+Mambo ambayo ameitendea nafsi yangu.+
23 Nami nakusifu wewe na kukuhimidi,+ Ee Mungu wa mababu zangu, kwa maana umenipa mimi hekima+ na nguvu. Na sasa umenijulisha tulilokuomba, kwa kuwa umetujulisha jambo lile la mfalme.”+