Mambo ya Walawi 11:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 ili kufanya tofauti+ kati ya kisicho safi na kilicho safi na kati ya kiumbe hai kinachoweza kuliwa na kiumbe hai kisichopasa kuliwa.’” Zaburi 119:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wenye furaha ni wale wanaoshika vikumbusho vyake;+Wanaendelea kumtafuta kwa moyo wote.+ Ezekieli 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova akaendelea kusema: “Hivyo ndivyo wana wa Israeli watakavyoula mkate wao ukiwa si safi+ katikati ya mataifa ambako nitawatawanya.”+
47 ili kufanya tofauti+ kati ya kisicho safi na kilicho safi na kati ya kiumbe hai kinachoweza kuliwa na kiumbe hai kisichopasa kuliwa.’”
13 Na Yehova akaendelea kusema: “Hivyo ndivyo wana wa Israeli watakavyoula mkate wao ukiwa si safi+ katikati ya mataifa ambako nitawatawanya.”+