Danieli 8:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na mimi, Danieli, nikachoka kabisa, nikawa mgonjwa kwa muda wa siku fulani.+ Kisha nikaamka na kufanya kazi ya mfalme;+ lakini nikaendelea kuonekana nimekufa ganzi kwa sababu ya lile jambo lililoonwa, wala hakuna mtu aliyelielewa.+
27 Na mimi, Danieli, nikachoka kabisa, nikawa mgonjwa kwa muda wa siku fulani.+ Kisha nikaamka na kufanya kazi ya mfalme;+ lakini nikaendelea kuonekana nimekufa ganzi kwa sababu ya lile jambo lililoonwa, wala hakuna mtu aliyelielewa.+