Matendo 5:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Baada yake Yuda Mgalilaya akainuka katika zile siku za uandikishaji,+ naye akavuta watu wamfuate. Na bado mtu huyo aliangamia, na wale wote waliokuwa wakimtii wakatapanywa kotekote.
37 Baada yake Yuda Mgalilaya akainuka katika zile siku za uandikishaji,+ naye akavuta watu wamfuate. Na bado mtu huyo aliangamia, na wale wote waliokuwa wakimtii wakatapanywa kotekote.