10 Kwa kweli, je, sasa ninajaribu kushawishi wanadamu au Mungu? Au je, ninatafuta kuwapendeza wanadamu?+ Kama ningekuwa bado ninawapendeza wanadamu,+ mimi singekuwa mtumwa+ wa Kristo.
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+