Ufunuo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! mlango uliofunguliwa mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia ilikuwa kama ya tarumbeta,+ ikisema nami, ikiniambia: “Panda uje huku,+ nami nitakuonyesha mambo ambayo lazima yatendeke.”+
4 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! mlango uliofunguliwa mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia ilikuwa kama ya tarumbeta,+ ikisema nami, ikiniambia: “Panda uje huku,+ nami nitakuonyesha mambo ambayo lazima yatendeke.”+