Mwanzo 28:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye akaanza kuota ndoto,+ na, tazama! kulikuwa na ngazi iliyosimamishwa juu ya dunia na kilele chake kilikuwa kimefika mbinguni; na, tazama! malaika za Mungu walikuwa wakipanda na kushuka juu yake.+ Ufunuo 11:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakasikia sauti kubwa+ kutoka mbinguni ikiwaambia: “Pandeni mje huku.”+ Nao wakapanda kuingia mbinguni katika wingu, na adui zao wakawatazama.
12 Naye akaanza kuota ndoto,+ na, tazama! kulikuwa na ngazi iliyosimamishwa juu ya dunia na kilele chake kilikuwa kimefika mbinguni; na, tazama! malaika za Mungu walikuwa wakipanda na kushuka juu yake.+
12 Nao wakasikia sauti kubwa+ kutoka mbinguni ikiwaambia: “Pandeni mje huku.”+ Nao wakapanda kuingia mbinguni katika wingu, na adui zao wakawatazama.