Zaburi 50:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Wakusanye kwangu washikamanifu wangu,+Wale wanaofanya agano langu juu ya dhabihu.”+ Zaburi 147:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova anajenga Yerusalemu;+Huwakusanya pamoja waliotawanywa wa Israeli.+ Ufunuo 4:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! mlango uliofunguliwa mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia ilikuwa kama ya tarumbeta,+ ikisema nami, ikiniambia: “Panda uje huku,+ nami nitakuonyesha mambo ambayo lazima yatendeke.”+
4 Baada ya mambo haya nikaona, na, tazama! mlango uliofunguliwa mbinguni, na sauti ya kwanza niliyoisikia ilikuwa kama ya tarumbeta,+ ikisema nami, ikiniambia: “Panda uje huku,+ nami nitakuonyesha mambo ambayo lazima yatendeke.”+