Yeremia 14:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Yehova amesema hivi kuwahusu wale manabii wanaotoa unabii katika jina langu na ambao mimi sikuwatuma na ambao wanasema kwamba hakuna upanga wala njaa itakayokuja katika nchi hii, ‘Hao manabii watamalizwa kwa upanga na kwa njaa.+
15 Kwa hiyo Yehova amesema hivi kuwahusu wale manabii wanaotoa unabii katika jina langu na ambao mimi sikuwatuma na ambao wanasema kwamba hakuna upanga wala njaa itakayokuja katika nchi hii, ‘Hao manabii watamalizwa kwa upanga na kwa njaa.+