Zekaria 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+
12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+