28Ole wake taji lenye utukufu la walevi wa Efraimu,+ na ua linalonyauka la pambo lake la uzuri lililo juu ya kichwa cha bonde lenye rutuba la wale ambao divai imewashinda nguvu!
6 ambao mnakunywa kwa mabakuli ya divai,+ na ambao mnatia mafuta kwa kutumia mafuta yenu yaliyo bora kabisa,+ na ambao hamkuwa wagonjwa kutokana na msiba wa Yosefu.+
34 “Lakini jiangalieni ninyi wenyewe kwamba mioyo yenu isilemewe kamwe na kula kupita kiasi na kunywa sana+ na mahangaiko+ ya maisha, na kwa ghafula siku hiyo iwe juu yenu mara moja+