2 Mambo ya Nyakati 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini katika siku ya nane wakafanya kusanyiko kuu,+ kwa sababu kule kuzinduliwa kwa madhabahu walikuwa wamekufanya kwa siku saba na ile sherehe kwa siku saba.
9 Lakini katika siku ya nane wakafanya kusanyiko kuu,+ kwa sababu kule kuzinduliwa kwa madhabahu walikuwa wamekufanya kwa siku saba na ile sherehe kwa siku saba.