2 Mambo ya Nyakati 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+ Ezekieli 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+
19 Naye akaendelea kutuma manabii+ katikati yao ili kuwarudisha kwa Yehova; nao wakaendelea kutoa ushuhuda juu yao, lakini hawakusikiliza.+
17 “Mwana wa binadamu, nimekufanya kuwa mlinzi katika nyumba ya Israeli,+ nawe utasikia maneno kutoka katika kinywa changu nawe lazima utawapa maonyo kutoka kwangu.+