11 ‘kwa hiyo kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘nitatenda pia kulingana na hasira yako na kulingana na wivu wako ambao umeonyesha kwa sababu ya hisia zako za chuki kuwaelekea;+ nami nitajijulisha mwenyewe katikati yao nitakapokuhukumu.+