Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako.+ Lazima umkaripie mwenzako,+ usije ukachukua dhambi pamoja naye.

  • Zaburi 37:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Kaa kimya mbele za Yehova+

      Na kumngojea kwa kutamani.+

      Usijionyeshe umewaka hasira kwa sababu ya mtu yeyote anayeifanikisha njia yake,+

      Kwa sababu ya mtu anayetimiza mawazo yake.+

  • Amosi 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu ya maasi matatu ya Edomu,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu alimfuatilia ndugu yake mwenyewe kwa upanga,+ na kwa sababu aliharibu sifa zake mwenyewe za rehema,+ na hasira yake huendelea kurarua milele, na ghadhabu yake—ameishika daima.+

  • Mathayo 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 kwa maana kwa hukumu mnayohukumu, mtahukumiwa;+ na kwa kipimo mnachopimia, watawapimia ninyi.+

  • 1 Yohana 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kila mtu anayemchukia+ ndugu yake ni muuaji,+ nanyi mnajua kwamba hakuna muuaji+ aliye na uzima wa milele ukikaa ndani yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki