14 Nanyi mtakuja asubuhi, kabila kwa kabila, na itatukia kwamba kabila ambalo Yehova atalichagua+ litakaribia, familia kwa familia, na familia ambayo Yehova ataichagua itakaribia, nyumba kwa nyumba, na nyumba ambayo Yehova ataichagua itakaribia, mwanamume kwa mwanamume.