Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. + Yona 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nao wakaanza kusemezana: “Njooni, tupige kura,+ tupate kujua ni kwa sababu ya nani tuna taabu hii.”+ Nao wakaendelea kupiga kura, mwishowe kura ikamwangukia Yona.+
33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +
7 Nao wakaanza kusemezana: “Njooni, tupige kura,+ tupate kujua ni kwa sababu ya nani tuna taabu hii.”+ Nao wakaendelea kupiga kura, mwishowe kura ikamwangukia Yona.+