Methali 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. + Methali 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kura hutuliza hata magomvi,+ nayo huwatenganisha hata watu wenye nguvu.+ Matendo 13:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya kuyaangamiza mataifa saba katika nchi ya Kanaani, aligawanya nchi yao kwa kura:+
33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +