Zekaria 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo akasema: “Hawa ndio wale watiwa-mafuta+ wawili wanaosimama kando ya Bwana wa dunia yote.”+ Zekaria 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi malaika akanijibu: “Hizi ndizo roho nne+ za mbingu zinazotoka+ baada ya kusimama mbele za Bwana+ wa dunia yote.+
5 Basi malaika akanijibu: “Hizi ndizo roho nne+ za mbingu zinazotoka+ baada ya kusimama mbele za Bwana+ wa dunia yote.+