Zaburi 50:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeye anaziita mbingu juu na dunia+Ili atekeleze hukumu juu ya watu wake:+ Isaya 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na sasa, enyi wakaaji wa Yerusalemu nanyi watu wa Yuda, tafadhali hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.+ Ezekieli 36:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, toa unabii juu ya milima ya Israeli, nawe utasema, ‘Ee milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Yehova.
3 “Na sasa, enyi wakaaji wa Yerusalemu nanyi watu wa Yuda, tafadhali hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.+
36 “Na wewe, Ee mwana wa binadamu, toa unabii juu ya milima ya Israeli, nawe utasema, ‘Ee milima ya Israeli,+ lisikieni neno la Yehova.