36 Kutoka mbinguni alikufanya usikie sauti yake ili kukurekebisha; na duniani alikufanya uone moto wake mkuu, nayo maneno yake uliyasikia kutoka katikati ya moto huo.+
19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi juu yenu leo,+ kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yako,+ baraka+ na laana;+ nawe lazima uchague uzima ili uendelee kuwa hai,+ wewe na uzao wako,+