Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha wana wa Israeli wakafanya tendo la kukosa uaminifu kuhusiana na kitu kilichotengwa kwa ajili ya kuharibiwa kwa kuwa Akani+ mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila la Yuda, alichukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa.+ Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya wana wa Israeli.+

  • 2 Wafalme 5:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Basi Naamani akasema: “Haya, chukua talanta mbili.” Naye akaendelea kumhimiza+ na mwishowe akafunga talanta mbili za fedha katika mifuko miwili, pamoja na mavazi mawili, akawapa watumishi wake wawili, ili wavibebe mbele yake.

  • Methali 10:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hazina za mwovu hazitakuwa na faida,+ lakini uadilifu ndio utakaokomboa kutoka katika kifo.+

  • Amosi 3:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Nao hawajajua jinsi ya kufanya yaliyo manyoofu,”+ asema Yehova, “wale wanaoweka jeuri+ akiba na uporaji katika minara ya makao yao.” ’

  • Yakobo 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Dhahabu na fedha zenu zimeliwa na kutu, na kutu yake itakuwa kama ushahidi juu yenu nayo itakula sehemu zenu zenye nyama. Kitu kama moto+ ndicho mmeweka akiba+ katika siku za mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki