2 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka. Isaya 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 na kusonga mbele kupitia Yuda. Kwa kweli yeye atafurika na kuvuka.+ Atafika mpaka shingoni.+ Na kunyooshwa kwa mabawa+ yake kutatokea ili kuujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”+
13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.
8 na kusonga mbele kupitia Yuda. Kwa kweli yeye atafurika na kuvuka.+ Atafika mpaka shingoni.+ Na kunyooshwa kwa mabawa+ yake kutatokea ili kuujaza upana wa nchi yako, Ee Imanueli!”+