Ezekieli 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+ Matendo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Hata hivyo, ili isipate kusambazwa zaidi kotekote kati ya watu, acheni tuwaambie kwa vitisho wasiseme tena kamwe na mtu yeyote juu ya msingi wa jina hilo.”+
2 “Mwana wa binadamu, elekeza uso wako Yerusalemu na udondoshe+ maneno kuelekea mahali patakatifu,+ na kutoa unabii juu ya udongo wa Israeli.+
17 Hata hivyo, ili isipate kusambazwa zaidi kotekote kati ya watu, acheni tuwaambie kwa vitisho wasiseme tena kamwe na mtu yeyote juu ya msingi wa jina hilo.”+