- 
	                        
            
            Ezekieli 12:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        19 Nawe utawaambia watu wa nchi, ‘Hivi ndivyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amewaambia wakaaji wa Yerusalemu katika udongo wa Israeli:+ “Watakula mkate wao kwa hangaiko, nao watakunywa maji yao kwa tisho, ili kujaa kwa nchi yao kufanywe kuwa ukiwa+ kwa sababu ya jeuri ya wale wote wanaokaa ndani yake.+ 
 
-