2 “Inamaanisha nini kwenu kwamba mnataja neno hili la kimethali kwenye udongo wa Israeli, na kusema, ‘Akina baba ndio wanaokula zabibu mbichi, lakini meno ya wana ndiyo yanayotiwa ukakasi’?+
3 Nawe utauambia udongo wa Israeli, ‘Yehova amesema hivi: “Tazama, niko juu yako,+ nami nitauchomoa upanga wangu katika ala+ yake na kumkatilia mbali kutoka kwako mwadilifu na mwovu.+