19 Waambie watu wa nchi, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anawaambia hivi wakaaji wa Yerusalemu katika nchi ya Israeli: “Watakula mkate wao kwa wasiwasi na kunywa maji yao kwa hofu, kwa maana nchi yao itakuwa ukiwa kabisa+ kwa sababu ya ukatili wa wale wote wanaokaa ndani yake.+