Mambo ya Walawi 18:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+ Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+
25 Kwa hiyo nchi si safi, nami nitaleta adhabu kwa ajili ya kosa lake juu yake, nayo nchi itawatapika wakaaji wake.+
38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+