Zekaria 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba manabii wataona aibu,+ kila mmoja kwa sababu ya maono yake anapotoa unabii; nao hawatavaa vazi rasmi la manyoya+ kwa kusudi la kudanganya.
4 “Na itatukia katika siku hiyo kwamba manabii wataona aibu,+ kila mmoja kwa sababu ya maono yake anapotoa unabii; nao hawatavaa vazi rasmi la manyoya+ kwa kusudi la kudanganya.