2 Wafalme 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi wakamwambia: “Alikuwa mtu mwenye vazi la manyoya,+ na mshipi wa ngozi umefungwa kiunoni mwake.”+ Mara moja akasema: “Alikuwa Eliya, Mtishbi.” Mathayo 3:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+
8 Basi wakamwambia: “Alikuwa mtu mwenye vazi la manyoya,+ na mshipi wa ngozi umefungwa kiunoni mwake.”+ Mara moja akasema: “Alikuwa Eliya, Mtishbi.”
4 Lakini Yohana huyu mavazi yake yalikuwa ya manyoya ya ngamia+ na alikuwa na mshipi wa ngozi+ kiunoni mwake; nacho chakula chake kilikuwa nzige+ na asali ya mwituni.+