Isaya 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Hata miberoshi+ imekushangilia pia, mierezi ya Lebanoni, ikisema, ‘Tangu ulale, hakuna mkataji yeyote wa miti+ anayekuja juu yetu.’ Zekaria 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Piga mayowe, Ee mberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka; kwa sababu wenye utukufu wameporwa!+ Pigeni mayowe, enyi miti mikubwa sana ya Bashani, kwa maana msitu usiopenyeka umeanguka!+
8 Hata miberoshi+ imekushangilia pia, mierezi ya Lebanoni, ikisema, ‘Tangu ulale, hakuna mkataji yeyote wa miti+ anayekuja juu yetu.’
2 Piga mayowe, Ee mberoshi, kwa maana mwerezi umeanguka; kwa sababu wenye utukufu wameporwa!+ Pigeni mayowe, enyi miti mikubwa sana ya Bashani, kwa maana msitu usiopenyeka umeanguka!+