Isaya 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Mwashuru ataanguka kwa upanga, si ule wa mwanadamu; na upanga, si ule wa mtu wa udongo, utamla.+ Naye atakimbia kwa sababu ya upanga, na wanaume wake vijana watafanyishwa kazi ya kulazimishwa.
8 Na Mwashuru ataanguka kwa upanga, si ule wa mwanadamu; na upanga, si ule wa mtu wa udongo, utamla.+ Naye atakimbia kwa sababu ya upanga, na wanaume wake vijana watafanyishwa kazi ya kulazimishwa.