Yeremia 50:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “Kuna sauti ya wale wanaokimbia na wale wanaoponyoka kutoka katika nchi ya Babiloni+ ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,+ kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+ Yeremia 51:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
28 “Kuna sauti ya wale wanaokimbia na wale wanaoponyoka kutoka katika nchi ya Babiloni+ ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,+ kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.