3 Na Yehova akaendelea kumwambia: “Nimeisikia sala+ yako na ombi lako la kutaka kibali ambalo uliomba kibali mbele zangu. Nimeitakasa+ nyumba hii ambayo umejenga kwa kuweka jina+ langu humo mpaka wakati usio na kipimo; na macho+ yangu na moyo wangu utakuwa humo sikuzote.+