Methali 21:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+ Ufunuo 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na mwingine akatokea, farasi mwenye rangi ya moto; na yeye anayeketi juu yake akapewa ruhusa ya kuondoa amani duniani ili wauane; naye akapewa upanga mkubwa.+
4 Na mwingine akatokea, farasi mwenye rangi ya moto; na yeye anayeketi juu yake akapewa ruhusa ya kuondoa amani duniani ili wauane; naye akapewa upanga mkubwa.+