Yeremia 49:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Nami nitawasha moto juu ya ukuta wa Damasko, nao utaiteketeza minara ya makao ya Ben-hadadi.”+ Amosi 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Damasko,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamepura Gileadi+ kwa vifaa vya kupuria vya chuma.
3 “Yehova amesema hivi, ‘ “Kwa sababu ya maasi matatu ya Damasko,+ na kwa sababu ya manne, sitaizuia, kwa sababu wamepura Gileadi+ kwa vifaa vya kupuria vya chuma.