Isaya 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu,+ wakuu wa Nofu+ wamedanganywa, wakuu wa makabila+ yake wamesababisha Misri iende huku na huku. Hagai 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nitakuchukua, Ee Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ mtumishi wangu,’ asema Yehova; ‘nami nitakuweka kama pete ya muhuri,+ kwa sababu ni wewe nimechagua,’+ asema Yehova wa majeshi.”+
13 Wakuu wa Soani wametenda kwa upumbavu,+ wakuu wa Nofu+ wamedanganywa, wakuu wa makabila+ yake wamesababisha Misri iende huku na huku.
23 “ ‘Katika siku hiyo,’ asema Yehova wa majeshi, ‘nitakuchukua, Ee Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ mtumishi wangu,’ asema Yehova; ‘nami nitakuweka kama pete ya muhuri,+ kwa sababu ni wewe nimechagua,’+ asema Yehova wa majeshi.”+