15 “Tazama! nimekufanya kuwa chombo cha kupuria,+ kifaa kipya cha kupuria kilicho na meno yenye makali kuwili. Utaikanyaga milima na kuiponda; na vilima utavifanya kuwa kama tu makapi.+
62Sitanyamaza kwa ajili ya Sayuni,+ nami sitakaa kimya kwa ajili ya Yerusalemu+ mpaka uadilifu wake utoke kama mwangaza,+ na wokovu wake kama mwenge unaowaka.+