11 Kwa kazi ya fundi wa mawe, kwa mchongo wa muhuri, utayachonga kwenye yale mawe mawili majina ya wana wa Israeli.+ Yakiwa yametiwa katika mapambo ya dhahabu ndivyo utakavyoyafanya.+
27 Fanyeni kazi, si kwa ajili ya chakula ambacho huharibika,+ bali kwa ajili ya chakula ambacho hudumu kufikia uzima wa milele,+ ambacho Mwana wa binadamu atawapa ninyi; kwa maana juu yake huyo, Baba, naam Mungu, ametia muhuri wake wa kibali.”+