14 mimi pia nitatoa mvua kwa ajili ya nchi yenu katika wakati wake uliowekwa,+ mvua ya vuli na mvua ya masika,+ nawe kwa kweli utakusanya nafaka yako na divai yako tamu na mafuta yako.
12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+