Marko 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+ Marko 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Halafu wakamtumia baadhi ya Mafarisayo na wafuasi wa chama cha Herode,+ kumnasa kwa maneno yake.+
6 Ndipo Mafarisayo wakatoka na mara moja wakaanza kufanya baraza pamoja na wafuasi wa chama cha Herode+ juu yake, ili wamwangamize.+