3 Na alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ akiwa ameketi kwenye mlo, mwanamke akaja na chupa ya alabasta iliyo na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaivunja ili kuifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa chake.+
3 Kwa hiyo, Maria akachukua ratili moja ya mafuta yenye marashi, nardo+ halisi, ghali sana, na kuipaka miguu ya Yesu, naye akaikausha miguu yake kwa kuifuta kwa nywele zake.+ Nyumba ikajaa harufu ya mafuta yenye marashi.