Marko 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Alifanya jambo ambalo aliweza; ameutia mwili wangu mafuta yenye marashi ili kunitayarisha kimbele kwa ajili ya maziko yangu.+ Yohana 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo Yesu akasema: “Mwacheni, ili ashike mwadhimisho huu kwa kufikiria siku ya maziko yangu.+
8 Alifanya jambo ambalo aliweza; ameutia mwili wangu mafuta yenye marashi ili kunitayarisha kimbele kwa ajili ya maziko yangu.+