Mathayo 26:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa kuwa mwanamke huyu alipotia mafuta haya yenye marashi juu ya mwili wangu, alifanya hivyo ili kunitayarisha kwa ajili ya maziko.+ Marko 14:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Alifanya jambo ambalo aliweza; ameutia mwili wangu mafuta yenye marashi ili kunitayarisha kimbele kwa ajili ya maziko yangu.+ Yohana 19:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.
12 Kwa kuwa mwanamke huyu alipotia mafuta haya yenye marashi juu ya mwili wangu, alifanya hivyo ili kunitayarisha kwa ajili ya maziko.+
8 Alifanya jambo ambalo aliweza; ameutia mwili wangu mafuta yenye marashi ili kunitayarisha kimbele kwa ajili ya maziko yangu.+
40 Basi wakauchukua mwili wa Yesu na kuufunga kwa vitambaa pamoja na manukato,+ sawa na jinsi Wayahudi walivyo na desturi ya kutayarisha kwa ajili ya maziko.