Marko 14:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Naye akaja akawakuta wamelala usingizi, naye akamwambia Petro: “Simoni, unalala usingizi? Hukuwa na nguvu za kuendelea kukesha kwa saa moja?+ Luka 22:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Naye akaondoka baada ya sala, akawaendea wanafunzi, akawakuta wakisinzia kwa huzuni;+
37 Naye akaja akawakuta wamelala usingizi, naye akamwambia Petro: “Simoni, unalala usingizi? Hukuwa na nguvu za kuendelea kukesha kwa saa moja?+